Vuta nikuvute hii ilitokea jumamosi iliyopita pale mtanzania huyu mwenye asili ya Asia mwenye (pikipiki no hizo....) alipotoa lugha chafu na kejeli kwa walinda usalama wa moja ya benki hapa Mwanza, kisa na mkasa - kuzuiwa kuingia ndani ya benki kupata huduma kwani muda ulikuwa umekwisha wa kutoa huduma.