Mzee wetu,babu yetu alichukia sana Rushwa,ilifikia watu walikuwa wakila viboko ili wakawaonyeshe wake zao jinsi gani rushwa inavyochukiwa na serikali.Sikiliza mzee wetu,babu yetu jinsi alivyothibisha kuwa rushwa ilianza toka enzi hizo lakini ilipingwa toka enzi hizo.