Takriban watu sita inaarifiwa kujeruhiwa mjini Nairobi katika mlipuko ndani ya basi moja lililokuwa linajitayarisha na safari ya kuelekea mjini Kampala Uganda.
Takriban watu sita inaarifiwa kujeruhiwa mjini Nairobi katika mlipuko ndani ya basi moja lililokuwa linajitayarisha na safari ya kuelekea mjini Kampala Uganda.