Kocha wa Liverpool, Roy Hodgson, ameondoka uwanja wa Anfield, baada ya kushauriana na tajiri anayemilikii klabu.
Hodgson, mwenye umri wa miaka 63, alifanikiwa kupata ushindi katika mechi 20 tu za ligi ya Premier, kati ya mechi 20, tangu kuchukua madaraka hayo ya kocha kutoka kwa Rafael Benitez, mwezi Julai mwaka 2010.
Matokeo hayo mabaya yameifanya Liverpool kuteremka hadi nafasi ya 12 katika ligi kuu ya Premier.