Wahariri wa Magazeti ya Serikali yanayochapishwa na Kampuni ya Tanzania Standard Newspapers (TSN), Joseph Kulangwa wa HABARILEO akisaini Azimio la Uhuru wa Habari na Uwajibikaji (DEFIR), katika hafla iliyoratibiwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na Gabby Mgaya wa Daily News (wa mbele kulia) akisubiri zamu yake wakati wa uzinduzi wa Azimio hilo, mjini Dar es Salam.