Lori lenye namba za usajili T190 AKW likiwa limetumbukia mtoni baada ya kusombwa na maji katika daraja la mto Loobuko kati ya Makuyuni na Mto wa Mbu wilayani Monduli mkoani Arusha kutokana na mvua kubwa zinazonyesha mkoani humo. (Picha na Prisca Libaga).