Waziri kivuli wa Wizara ya Habari,Vijana ,Utamaduni na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Mh. Joseph Mbilinyi (a.k.a. MR. SUGU) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo (hawapi pichani) kuhusu shoo aliyoiandaa ijulikanayo kama Anti Virus wakati wa Tamasha la Burudani kwa washabiki wake litalaofanyika jijini Dar mnamo tarehe 26 mwezi huu na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi.Kushoto ni Msanii Fred Malaki (a.k.a- MKOLONI) na Kulia ni Mwanadada Zainab Lipangile a.k.a ZAY –B, Katika tamasha hilo Wasanii mbalimbali watatumbuiza.
Waziri kivuli wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini,Joseph Mbilinyi (a.k.a Mr. SUGU) akionyesha kitabu ambacho ameelezea maisha yake kitakachopatikana wakati wa Shoo ijulikanayo Anti Virus katika Tamasha la Burudani kwa washabiki 2011 litaakalofanyika Nov. 26,2011 jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali pamoja na wadau wa michezo.Kushoto ni Msanii Fred Malaki a.k.a. MKOLONI. ( Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.)