Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi Tsehai akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uamizi wake wa kujitoa na kutoshiriki tena mashindano ya urembo ya Miss International na kuiomba serikali za Tanzania, Japan na China kutotoa ushirikiano wowote kwa shirika la International Cultural Association (ICA) ambao ni waandaji wa mashindano hayo nchini Japani kutokana na ubaguzi wa rangi ambao wameundeleza kwa miaka 51 tokea shindano hili lilipoanza.Kulia ni Mshiriki wa Shindano hilo Nelly Kamwelu wakati walipokuwa wakiwasili nchini kutokea China yalikofanyika mashindano hayo.