Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stellah Manyanya (kulia), akimkabidhi mwenge wa uhuru Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro,baada ya mwenge huo kumaliza mbio zake mkoani Rukwa, katika hafla iliyofanyika jana, kijiji cha Mkutano wilayani Mbozi.
Mkuu wa Wilaya ya Mbozi Gabriel Kimolo (kulia), akimkabidhi mwenge wa Uhuru Mkuu wa Wilaya ya Mbeya mjini,Evance Balama, baada ya mwenge huo kumaliza mbio zake wil;ayani Mbozi.Makabidhiano hayo yalifanyika Songwe Viwandani mkoani Mbeya.Mwenge huo mkaoni Mbeya utafungua miradi yenye thamani ya sh.bilioni 2.6 na Wilayani Mbozi umefungua miradi mitatu ya sh.milioni 156.…