Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Sultan Al–Qasimi, Bwana Ali Almarri wakati alipotembelea makumbusho hayo mjini Sharjah, Muungano wa Falme za Kiarabu(UAE). (Picha na Ramadhan Othman).