Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA), Dk. Julitta Onabanjo (aliyesimama), akiwa amembeba mmoja kati ya watoto saba waliozaliwa kati ya saa 6:00 na saa 6:30 usiku wa kuamkia jana, kwenye Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam jana. (PICHA: KHALFAN SAID)