Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anaongoza kwa asilimia 46 ya kura zote, matokeo yanavyoonyesha.
Ikiwa zaidi ya robo tatu ya kura zikiwa zishahesabiwa, mpinzani wake mkuu, Etienne Tshisekedi, ana aslimia 36, tume ya uchaguzi imesema.