Virusi hivyo ni sawa na vile vya SARS (Severe Acute Respiratory Syndrome) vyenye makali mno na ambavyo vilisababisha vifo vya mamia ya watu barani Asia mwaka 2003.
virusi hivyo vipya vijulikanavyo kama (coronavirus) Viligunduliwa mwanzo kwa mgonjwa nchini Saudi Arabia, ambaye inasemekana alifariki baadaye.
Nasasa imethibitishwa kuwa Mwanaume mmoja kutoka nchini Qatar anatibiwa mjini London baada ya kuambukizwa virusi hivyo akiwa Mashariki ya kati.