Mkuu wa mkoa wa Ruvuma, Dkt. Binilith Mahenge akiongea na wananchi wa Tarafa ya Matemanga wilaya ya Tunduru alipofanya ziara ya Kijazi kukagua shughuli za maendeleo na kusikiliza kero za wananchi. |
Mkuu wa wilaya ya Tunduru, Juma Homera akizungumza na wananchi wa Matemanga kuhusu kero ya maji kutokana ma mradi wa maji kusimama kwa kukosa fedha. |
0 Comments