Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwakilishi wa Kampuni ya Mafuta ya Stat Oil ya Norway, Bw. Oystein Michelsen kabla ya kupokea taarifa ya maendeleoya mradi mkubwa wa ujenzi wa kiwanda cha kusindika gesi asili (LNG Plant)kinachotarajiwa kujengwa katika eneo la Likon'go, Mchinga Mkoani Lindi. |
0 Comments