Mr & Mrs Abdulhalim..Wallah walipendeza sana |
Bwana harusi bwana Abdulhalim muda mfupi baada ya ndoa akipata picha na ndugu na marafiki zake wa karibu. |
Bwana harusi akiwa na rafiki zake |
Bwana harusi akipata picha ya pamoja na wazee wake waliohudhuria tukio la ndoa hapo jana |
Bwana Abdulhalim jana ilikuwa siku yake maalumu katika historia ya maisha yake,hapo akipata picha na mzazi wake na baba mkwe wake |
Maharusi wakiingia holini SHAA TIMBER |
Matukio ya picha yakiendelea kwa maharusi wetu |
Mara baada ya ndoa kufungwa salama msikiti wa NIKAH,hapa ni nyumbani kwa bi harusi kitongojini Kisauni.Bwana harusi katika sura ya upole na unyenyekevu ukweni... |
Mr na Mrs Abdulhalim wakipozi |
Maharusi wakipata picha na wazazi wao |
Baada ya ndoa kufungwa salama msikiti wa NIKAHA,bwana harusi akipewa mkono wa pongezi kwa hatua na sunna muhimu aliyoifanya hapoa jana..Ama hakika Abdulhalim unastahili pongezi |
Uuungwana ni vitendo,kitendo alichokifanya kijana Abdulhalim kinastahili pongezi na hapo ndipo picha inadhihirisha kinachostahili |
Ni sunna kumshika kichwa mkeo na kuomba dua juu ya ndoa yenu,Pichani bwana Abdulhalim akifanya kile kinachostahili kwa mkewe.Allah barik ndoa yao inshallah. |
0 Comments