Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Janeth, leo Novemba 15, 2018, walishiriki Ibada ya Misa Takatifu Dominika ya 34 ya mwisho wa mwaka katika Kanisa la Mtakatifu Petro Parokia ya Oyster Bay jijini Dar es Salaam. Ibada hiyo ya mwisho wa mwaka ya sherehe ya Kristo Mfalme iliongozwa na Padri Projestus Marko Kahitwa Novemba.
PICHA NA IKULU
0 Comments