Konda hupendelea kumwambia dereva tanua,tanua tuwahi...Inapofika dereva kutanua sana bila hata kuangalia hujikuta katika hali kama hii na kuwapa hofu abiria.Kila kitu kinajieleza hapooo,daladala ya kwenda wapi na kurudi wapi.
Konda hupendelea kumwambia dereva tanua,tanua tuwahi...Inapofika dereva kutanua sana bila hata kuangalia hujikuta katika hali kama hii na kuwapa hofu abiria.Kila kitu kinajieleza hapooo,daladala ya kwenda wapi na kurudi wapi.
0 Comments