Wakionyesha hali ya kumpinga raisi wao Kagame wanyarwanda walikuwa na mabango jijini Brussel wakimuonyesha hali ya kutoridhishwa na utendaji wa raisi huyo.habari na picha zaidi nitawaletea hapo baadae.
Wakionyesha hali ya kumpinga raisi wao Kagame wanyarwanda walikuwa na mabango jijini Brussel wakimuonyesha hali ya kutoridhishwa na utendaji wa raisi huyo.habari na picha zaidi nitawaletea hapo baadae.
0 Comments