Vijana wakazi wa eneo la Polisi Ufundi barabara ya Kilwa Dar es Salaam wakisaidia kuweka vyombo ndani ya nyumba ambayo ilikuwa inakaliwa na mtu asiyekuwa askari baada ya gazeti hili kuandika habari hizo Aprili 27. Nyumba hiyo sasa amepewa askari mhusika. (Picha na Yusuf Badi).