Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete(wa sita kutoka kushoto mstari wa pili nyuma) akiwa katika pamoja na Mkuu wa Jumuiya ya Madola Malkia Elizabeth II pamoja na wakuu wengine wa nchi za jumuiya ya Madola wakati wa ufunguzik wa Mkutano wa Jumuiya ya Madola unaofanyika jana jijini Perth,Austraslia.(picha na Freddy Maro)