Wanigeria wakipita mbele yake kwa heshima tayari kurejea nyumbani. Aliwataka askari hao kuona fahari kuvishwa medali hizo na kwamba ziwe chachu katika kufanya kazi kwa nguvu mpya na kwa kuzingatia weledi na maadili ya hadi siku ya mwisho ya katika UNAMID. Kabla ya kujiunga na UNAMID mwaka jana akiwa Naibu Mkuu wa Majeshi yake, Jenerali Kisamba, ambaye amejizolea sifa tele kwa weledi wake hapa, alikuwa mkuu wa vikosi vya ardhini katika Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).
![]() |
Akipokea Saluti |
0 Comments