Ban Ki Moon akizungumza wakati wa hafla
hiyo ambapo amempogeza na kushukurusu sana Migiro kwa namna alivyokuwa mshauri
wake na mwalimu wake ambaye a anasema kwa ualimu wake anampa alama ya plus plus
plus. akatumia hafla hiyo kutangaza kwamba anamteua Dkt. Asha- Rose Migiro
kuwa mjumbe wake maalum katika masuala ya ukimwi na ugonjwa wa ukimwi Barani
Afrika. Migiro anaondoka baada ya kuutumikia Umoja wa Mataifa kwa miaka
mitano na nusu.
Dkt. Asha-Rose Migiro akizungumza wakati wa
hafla hiyo, akatoa shukrani zake kwa Ban ki Moon kwa kumpatia heshima hiyo ya
kihistoria ambayo haita kaa ifutike na kwamba ameupokea uteuzi huo kwa mikoni
miwili na hasa kutokana na kwamba tatizo la ugonjwa wa ukimwi ni tatizo ambalo
analichukulia kwa uzito wa aina yake
Na Chiaziiiiiiiiiiiiiiiii iligongeshwa,
Katibu Mkuu akitakiana kila la kheri na Naibu Katibu Mkuu, Dkt. -Asha Rose
Migiro, kulia ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu, Bw. Anyanga
Bi Amina Mtengeti akinywa kinywaji chake
baada ya kigongeshana chiaziiiiii na Katibu Mkuu Ban Ki Moon.
0 Comments