Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Wizara ya Habari, Vijana na Utamaduni Tanzania Profesa Hermas Mwansoko akitoa maelekezo kwa wajumbe wa Jumuiya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki
Kamishna wa Utamaduni Zanzibar Hamad Bakar Mshindo (kulia) akitoa maelezo ya Jengo hilo ambalo ndio Makao makuu ya Jumuiya ya Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki.
0 Comments