Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akifungua maonyesho ya nne ya biashara na huduma katika viwanja vya Amaan, ikiwa ni maandalizi ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, “May day”.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa maonyesho ya nne ya biashara na huduma katika viwanja vya Amaan, ikiwa ni maandalizi ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, “May day”.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akikagua bidhaa mbali mbali katika maonyesho ya nne ya biashara na huduma katika viwanja vya Amaan, ikiwa ni maandalizi ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, “May day”.

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akikagua bidhaa mbali mbali katika maonyesho ya nne ya biashara na huduma katika viwanja vya Amaan, ikiwa ni maandalizi ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, “May day”.