Kocha wa Yanga, Ernst Brandts akiwa amebebwa na wachezaji wake. |
Wera wera Yanga....Oyaa Oyaa Oyaaaaa.....Kiduku staili inachukua nafasi..jamani ushindi raha..!!
![]() |
Nahodha wa Yanga, Nidir Haroub 'Canavaro' akiwa amenyanyua kombe la Ubingwa wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara pamoja na wachezaji wenzake. [picha kwa ihsani ya Michuzi] |
0 Comments