Wanakijiwe kutoka kushoto ni Dotto Mwallongo, David Ndunguru na Jabir Jongo wakikutayarishia kipindi chako ukipendacho cha KIJIWE CHA UGHAIBUNI kitakachorushwa kesho Jumanne. 
Wanakijiwe kutoka kushoto ni Libe Mwang'ombe, Kenyatta Mayanga na Mkwavi Mwinyikheri.
 Kruu nzima ya Kijiwe ikimsikiliza David Ndunguru alipokua akisisitiza jambo.