Mchezaji wa timu ya Taifa "Taifa Stars" Aggrey Morris (katikati) akiwania mpira huku akizongwa na mabeki wa Uganda Cranes wakati wa mchezo wao wa Marudiano uliopigwa jioni ya leo kwenye uwanja wa Mandela, Namboole mjini Kampala Uganda.hadi mwisho wa Mchezo Taifa ilichapwa mabao 3-1