Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman akikabidhi zawadi kwa niaba ya Mahakama kwa Balozi wa Marekani aliyemaliza muda wake, Mhe. Alfonso Lenhardt pindi alipomkaribisha mapema jana ofisini kwake Mahakama ya Rufani Tanzania kwa ajili ya kumuaga rasmi na kumpongeza kwa kumaliza muda wake.