Pichani ni kijana mdogo kwa jina anaitwa Alpha,aliamua kupiga picha kando kidogo kwenye bango lenye ujumbe mzuri ambao ndugu msomaji ukichukua dakika chache kuusoma utaelewa nini kinazungumziwa kwenye bango hilo.Tembelea Bagamoyo ukajionee makumbusho ya kale.