Mkurugenzi wa TEKNOHAMA (ICT) wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Ndg. Phares Magesa (kulia) akiongoza ujumbe wa TPA kwenye teleconference na Trade Mark East Africa(TMEA) katikati ni Ndg. Mark wa TMEA na Ndg. Alfred wa TPA .... Tanzania iko katika hatua muhimu ya utekelezaji wa mradi wa "electronic Single Window System" mradi huu utasaidia kuharakisha na kurahisisha mfumo wa mzima wa ufanyaji biashara ya uagizaji(import) na usafirishaji(export) wa bidhaa nje ya nchi.