Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose Migiro, akimlaki Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika. Katikati ni Balozi wa China hapa nchini, Lu Youqing.
Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose
Migiro, akiwa na mgeni wakei Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti
cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana
huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili
ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho
ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia
sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika.


 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose
Migiro, akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti
cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana
huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili
ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho
ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia
sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika.

"PANDA GARI HILI" Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, CCM, Dk. Asha-Rose
Migiro, akimwelekeza  kupanda gari Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Chama Cha Kikomunisti
cha Jamhuri ya watu ya China Ai Ping baada ya mgeni huyo kuwasili mchana
huu Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili
ya kuhudhuria mkutano huo. Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) ambacho
ni rafiki mkubwa wa CCM kimealikwa kutokana na kuwa Chama kilichosaidia
sana harakati za ukombozi huo wa nchi za kusini mwa Afrika. (Picha na Bashir Nkoromo).