Mwenyekiti mwenza wa Kamati Kuu ya Taifa ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikiendesha Kikao cha Kamati hiyo kilichokutana katika Ukumbi wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa { TAMISEMI } Mjini Dodoma.

 Baadhi ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao ni Wajumbe wa KamatiI Kuu ya Taifa ya Sensa Tanzania wakiendelea na Kikao chao Mjini Dodoma.

Kutoka Kulia ni Waziri wa Habari M,h. Said Ali Mbarouk, Waziri wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Mh. Zainab Mohd, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum Mh. Haji Omar KLheir pamoja na Waziri wa Nchi Ofiisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Mwinyihaji Makame.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu ya Sensa kutoka Kushoto ni Kamishna wa Sensa Tanzania Bara Hajat Amina Mrisho Naibu Waziri wa Fedha wa Serikali ya Muungano wa Tanzania Mh. Muigulu Nchemba na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dr. Florens Turuka. 
Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania Dr. Alina Chua akitoa Taarifa fupi juu ya uhakiki wa mipaka kwa baadhi ya Wilaya Nchini Tanzania.
Kulia ya Dr. Alibina Chua ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Nd. Mohd Hafidh.

Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.