Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akijumuika na Viongozi mbali mbali na wananchi,katika futari iliyoandaliwa na Benki ya watu za Zanzibar PBZ katika Ukumbi wa Salama Bwawani

Baadhi ya wananchi wa manispaa ya  Mji wa Zanzibar na wateja wa Benki ya watu wa Zanzibar PBZ,wakiwa katika futari iliyoandaliwa na Benki hiyo katika Ukumbi wa Salama Bwawani

Picha na Ramadhan Othman Ikulu.