DSC_0015
Divas wa Skylight Band kutoka kushoto Aneth Kushaba AK47, Mary Lucos na Digna Mbepera kwa pamoja wakitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita kwenye kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0016
Mary Lucos akifanya yake jukwaani.
DSC_0005
Hashim Donode a.k.a Mzee wa Kiduku akitoa burudani kwa wapenzi wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Digna Mbepera pamoja na Sam Mapenzi.
DSC_0028
Sam Mapenzi (kulia) sambamba na Sony Masamba (katikati) pamoja na Joniko Flower wakisebeneka Ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0041
Mupe Salute...Salute mashabiki wa Skylight Band wakishuhudia burudani ya kikosi cha Band inayojikusanyia mashabiki lukuki kutoka kila kona ya nchi ya Tanzania pamoja na nje pia.
DSC_0049
Twende hapa ni burudani tu.
DSC_0063
Mdau Maso (kushoto) akiwa na marafiki zake ndani ya kiota cha Thai Village Ijumaa iliyopita walipojumuika kula bata na Skylight Band.
DSC_0073
Babu Athumani na Tophy Bass wa Skylight Band nao walipata ukodak.
DSC_0358
Mdau akishow love na mshirika wa wadananda.
DSC_0087
Le Manager her self Aneth Kushaba AK47 akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0105
Digna Mbepera na hakubaki nyuma naye alisongesha burudani kama kawaida.
DSC_0125
When Jesus Say Yes Nobody Can Say NO...! Le Manager her self Aneth Kushaba AK47 akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0128
Mashabiki wa Skylight Band wakiserebuka kwa raha zao kwa kujinafsi.
DSC_0142
Sam Mapenzi akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0318
Mashabiki wa Skylight Band wakipata swagga za kinigeria kutoka kwa Sam Mapenzi (hayupo pichani).
DSC_0325
oohhh na na na na...ye ye ye ye ye...oohhh na na na na....ye ye ye ye ye...oohhh na na na na....ye ye ye ye ye...Si mwingine ni Sam Mapenzi akiwadatisha mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0327
DSC_0150
Taratibu kwa raha zao wapenzi wa Skylight Band wakiburudika na burudani kutoka kwa Sam Mapenzi (hayupo pichani).
DSC_0156
Umati wa mashabiki wa Skylight Band ukiwa umefurika ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0166
Kwa raha zao wakiburudika na Live Band kutoka Skylight.
DSC_0334
Mmoja wa mashabiki wa Skylight Band na rafiki yake wakipata raha na burudani ya aina yake kutoka Skylight Band.....Wewe je unasubiri nini?? tujumuike leo jioni pamoja Thai Village kuanzia saa tatu usiku.
DSC_0163
Drums ni kiungo muhimu sana kwenye muziki wa Live Band....Idirisa ndiye aliyekuwa akisababisha upande huo.
DSC_0167
Mashabiki wakiendelea kuburudika.
DSC_0239
Hapa ni burudani na sisi ndio habari ya mujini...Joniko Flower akiongoza kikosi kutoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0247
Mmoja wa mashabiki wa Skylight Band aliyekua akisheherekea siku yake ya kuzaliwa akiimbiwa wimbo maalum wa kusheherekea siku yake maalum na hii yote ni kuwa karibu baina ya Band na mashabiki wao......Wewe na yule pia mnakaribishwa leo kusheherekea siku yako ya kuzaliwa pamoja na Skylight Band.
DSC_0249
DSC_0252
Oooh mashabiki wawili waliheseherekea birthday zao ndani ya kiota cha Thai Village huku wakijinafasi kwenye dancing floor walipokuwa wakiimbiwa wimbo maaluma na Skylight Band.
DSC_0254
Birthday Girls wakipata Ukodak kutoka kwa mashosti zao.
DSC_0169
Diva's wakipata Ukodak backstage wakati wakivuta pumzi kabla kuendelea kutoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band.
DSC_0196
Emma Bass akipata ukodak na murembo mkareeee.
DSC_0258
Kubwa kuliko ni ule wakati wa kuzungusha mduara..mmoja wa mashabiki alimua kumwaga radhi kwa namna ya aina yake huku umati wa mashabiki wa Skylight Band ukiwa umefurika na kuduarika vilivyo.
DSC_0262
Wakaka wakionekana kupagawishwa na mauno ya mwanadada huyo mwishowe kwenda kumtunza.
DSC_0281
Wake kwa waume wakiduarika na Skylight Band.
DSC_0300
Joniko Flower akiwaduarisha mashabiki wa Skylight Band.