Wakati mawaidha yakitolewa baadhi ya waumini pichani wakisikiliza kwa makini nini kinazungumzwa.
Mada mbalimbali za ukumbusho wa mambo ya dini yalizungumziwa katika hotuba zilizokuwa zikitolewa na mashekh wetu mchana wa leo
Kwa umakini zaidi watu walikuwa wakisiliza nini kinazungumzwa
Kwa upande wa kina mama wengi walishiriki vyema katika dua ya leo
Shekh Habib akitoa mawaidha siku ya leo
Shekh Ahmed akiwa ametulia mara tu baada ya kutufungulia kisomo cha leo kwa Quran tukufu
| Kipindi cha sadak kilipowadia kila mmoja alipata chochote kitu |
| Shekh Ahmed akifungua kisomo cha leo kwa kusoma Quran tukufu |
Shukrani kwa kila mmoja aliyeshiriki kwa namna yoyote na kuweza kufanikisha kisomo hiki kuisha salama,Allah awajaalie wote.
| Shekh Yusuf ambaye alihakikisha shughuli zote zinazohusiana na sauti kwenye shughuli ya leo zinakwenda sawa,picha akiinua mikono yake kuwaombea dua marehemu |
0 Comments