Nahodha na golikipa wa Liege Sele Rasta akilinyanyua kombe juu kwa furaha huku wachezaji wenzake wakimsaidia kushangilia ushindi wao dhidi ya timu ya Antwerpen Fc hapo jana katika uwanja wa Leuven. |
Mabingwa wa mashindano ya Bonanza kwa mwaka 2015 timu ya Liege ikishangilia ushindi wao wa kulinyakua kombe dhidi ya timu pinzani ya Antwerpen baada ya kuifunga kwa penati 4 -2 |
Kikosi cha timu ya Liege ambacho ni mambingwa kwa msimu huu wa mwaka 2015-2016 |
Hekaheka katika lango la timu ya Antwerpen huku mabeki wa timu hiyo wakijitahidi kuokoa hatari langoni mwao |
Jitihada za golikipa Sele Rasta wa Antwerpen hazikufua dafu baada ya kushindwa kuokokoa mkwaju mkali uliopigwa na Issa na kwenda moja kwa moja wavuni |
Wazee wa kazi wakiendelea kupongezana kwa timu zao zinavyofanya vyema uwanjani |
Nyambi kulia akisikitika kwa uchungu baada ya kuona timu yake ya Antwerpen inapachikwa bao la kwanza dhidi ya Liege |
Kwenye benchi la ufundi ni ndugu Joseph anayenyoosha mkono kutoa maelekezo kwa timu yake ya Anwerpen wakati wa mapumziko |
Kikosi cha Antwerpen Fc ambacho kiukweli kilileta changamoto kubwa sana katika mashindano haya ya msimu huu wa Bonanza la mwaka 2015 |
Kikosi cha Liege ambacho kilichanganyika na baadhi ya wachezaji wa Antwerpen kwa picha ya kumbukumbu |
Baadhi ya wachezaji wakali wa timu ya Antwerpen |
Benchi la ufundi likiongozwa na kaka yetu mtaalamu Mchawi wa wachawi |
Hiki ndicho kikombe walichotwaa wana wa Liege |
Golikipa bora wa mshindano hayo Qwiyala wa timu ya Antwerpen akipokea kikombe kutoka kwa mmoja wa wageni waalikwa |
Mchezaji bora wa Mashindano kutoka timu ya Antwerpen akipokea zawadi yake kutoka kwa mgeni mualikwa.Picha na maelezo zaidi yatafuata hapo baadae. |
1 Comments
LEUVEN 2 ANTWERPEN 2.
LEUVEN 1 LIEG 2
LIEG 1 ANTWERPEN 3.
MSIMAMO.
1- ANTWERPEN- P2 - D1-W1-GW5-GL3-GD+2-L0 - POINTI 4
2-LIEG -P2- D0- W1-GW3-GL4-GD_1-L1-POINT 3
LEUVEN- P2-D1-W0-GW3-GL4-GD_1-L1-POINT 1
BINGWA LIEG.
ILA POA ILIPENDEZA SIKU NYINGINE LIEG WAACHE UOGA IPIGWE MECHI YA KUTAFUTA BINGWA MAANA HAIWEZEKANI MWENYE POINTI NYINGI AKOSE UBINGWA.