Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
 Mgombea ubunge jimbo la Mbulu Vijijini, kwa tiketi ya CCM, Fraten Maasai, akiomba kura baada ya kutambulishwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan  katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
Umati wa wananchi waliohudhuria  mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, leo  kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipokuwa akiingia kwenye  mkutano wake wa kampeni uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
 Kijana akionysha bango la kumfagilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, kwenye mkutano wa kampeni za CCM za Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa mikutano wa Mbulu mjini mkoani Manyara.
 Mgombe mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akimsalimia kijana Augustine Male, mwenye ulemavu, ambaye alihudhuria mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza huyo, leo Mbulu Mjini.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Karatu, kwa tiketi ya CCM, Wilbard Lorri, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika kijiji cha Mbulumbulu katika jimbo hilo.
 Mwananchi akiwa na mabango ya kuwafagilia mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli na Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika leo, Mbulu mjini.
 Wananchi katika Kijiji cha Mbulumbulu, wakimshangilia Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kufanya mkutano wa kampeni katika eneo hilo leo
 Kina mama wakimzawadia mavazi, Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia, baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Mbulumbulu, wilayani Karatu, mkoani Arusha. 
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, katika eneo la Karatu mjini, Mama Samia ambapo alilazimika kuwasalimia, wakati akiwa njiani kwenda  Mbulu leo
 
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia akiwasalimia wananchi waliosubiri msafara wake kkwenye makutano ya mkoa wa Arusha na Manyara, wakati akitoka Arusha kuingia Manyara 
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Magugu, wilayani Bbati mkoani Manyara leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

MAGUFULI AUNGURUMA MBEYA MJINI

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwasili kwenye uwanja wa mikutano wa Rwanda Nzovwe, Mbeya.



Wananchi wa Mbeya mjini wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM ambao mgombea wa Urais

 Mtiti wa wakazi wa Mbeya kwenye mkutano wa CCM ambao mgombea wa CCM Dk. John Pombe Magufuli alihutubia.
 Mgombea wa Urais kupitia CCM DK. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Mbeya mjini kwenye mkutano wa kampeni ambapo aliwaambia anagombea Urais ili aweze kuwatumikia Watanzania na kusogeza maendeleo mbele kwa kasi kubwa.
 Nyomi la wakazi wa Mbeya mjini waliojitokeza kumsikiliza Dk. John Pombe Magufuli.
 Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe. William Lukuvi akihutubia wakazi wa Mbeya mjini waliojitokeza kwenye mkutano wa Kampeni za CCM.
Kada wa CCM Dk. Kasesela akihutubia wakazi wa Mbeya kwenyye mkutano wa hadhara ambao aliwaambia wasihadaike na maneno ya wapinzani kwani wao wamezoea kusema wakisemwa wao ndio wameonewa.
Shilole akitumbuiza kwenye mkutano wa kampeni za CCM mkoani Mbeya.
Matonya akitumbuiza kwenye mkutano wa CCM ,mkoani Mbeya.
Msami akionyesha love kwa CCM mkoani Mbeya.
WAZIRI wa Afrika Mashariki, Dk. Harrison Mwakyembe, akihutubia wakazi wa Mbeya Mjini ambapo aliwaambia yupo tayari kuitetea nchi hii dhidi ya mafisadi.

Mbunge wa viti maalum (ccm) mkoa wa Mbeya, Dk.Mary Mwanjelwa akihutubia wakazi wa mji wa Mbeya kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya  Rwanda Nzovwe.
Shetta katika ubora wake kwenye mkutano wa CCM Mbeya.

Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiondoka uwanjani mara baada ya kumaliza kuhutubia.
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiondoka uwanjani huku akiwa amewabeba watoto wawili kwenye gari lake na kupungia mkono wananchi ambao walionyesha kuhakikisha anashinda uchaguzi.


Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Kyela waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa John Mwakangale.
Umati wa wakazi wa Kyela wakimsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli.
 Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM Mhe. Wiliam Lukuvi akisalimia wakazi wa Kyela.
 Mbunge wa Jimbo la Kyela Dk. Harison Mwakyembe akihutubia wakazi wa Kyela waliojitokeza kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.
 Mbunge wa Jimbo la Kyela Dk. Harison Mwakyembe akihutubia wakazi wa Kyela waliojitokeza kumsikiliza Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk.John Pombe Magufuli.


 Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tukuyu Sahul Amon akihutubia wakazi wa Rungwe waliojitokeza kumsikiliza kwenye mkutano wa Kampeni ambao Dk. John Pombe Magufuli alihutubia.
 Mgombea Ubunge Jimbo la Busokelo Kwere Fredy Mwakibete akiwaga sera zake kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambao Dk. John Pombe Magufuli alihutubia.