Kikosi cha timu ya Krc Gent muda mfupi kabla ya mechi kuanza leo hii ilipopambana na timu ngumu ya Club Brugge.

Baadhi ya wachezaji wa Krc Genk walishangilia goli la kusawazisha lililotokana kwa njia ya penati
Mbwana Samatta alipachika goli la tatu na kuipa ushindi wa jumla ya goli 3-2 dhidi ya Club Brugge.