Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akitembelea bandari ya Mtwara Februari 27, 2016.Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendego.

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na wafanyakazi wa  kampuni ya TPDC baada ya kuwasili kwenye mtambo wa kuchakata  gesi wa Madimba, Mtwara Vijijini kukagua shughuli za gesi Februari 27, 2016.

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na viongozi wengine akikagua mtambo wa kuchakata gesi wa Madimba, Mtwara Vijijini Februari 27, 2016. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini Dkt. Medadi Kalemani na kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC, Dkt. James Mataragio,  na  Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe Halima Dendego.

Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na viongozi wengine wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa TPDC baada ya kutembelea mtambo wa kuchakata gesi wa Madimba, Mtwara Vijijini Februari 27, 2016

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na walimu na wakufunzi wa Chuo cha Elimu cha Mtwara baada ya kuzungumza nao  chuoni hapo , Februari 27, 2016.