
Mbunge wa Kawe Halima Mdee.
Mbunge wa Kawe Halima Mdee na wenzake wa 4 wamefikishwa mahakama hakimu mkazi kisutu wasomewa shitaka moja la kumjeruhi katibu tawala wa mkoa,wamekana mashitaka wamejidhamini wenyewe kwa milioni mbili kila mmoja.
Wameachiwa kwa dhamana na kesi imeahirishwa mpaka March 16 Mwaka huu.
0 Comments