Ujumbe wa Tanzania katika mkutano wa SADC, wa Mawaziri,Gaborone Botswana. Kutoka Kushoto Dr. Aziz Ponary Mlima, Katibu Mkuu Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Dr. Stegomena L. Tax, Katibu Mtendaji wa SADC, Mheshimiwa Dr. Ashantu Kijaji, Naibu Waziri wa Fedha  a Mipango, Bwana Said Magonya, Kamishna wa Madeni ya Nje, (Hazina).