Ndugu Jesse wa Boom   anapenda kuwatangazia Waafrika wenzake wote wa Ubelgiji na nchi zilizo jirani kuwa mazishi ya mpwa wake Comfort yatafanyika siku ya jumatano ya tarehe 04.05.2016 saa saba kamili.
Mtoto Comfort ataagwa Mochwari saa sita kamili mchana  na anuani  ya kufika hapo Mochwari ni kama ifuatavyo: Oosterveldlaan 24,Post code 2610 Wilrijk,Sint-Augustinus.
Baada ya kuagwa watu wataelekea makaburini kwa ajili ya kumstiri mtoto Comfort,Anuani ya Makaburini ni kama ifuatavyo:
Kerkhofstraat 386
2850 Boom.


Kwa watakaotumia usafiri wa Bus Wapande Bus wakitokea Boom Market bus no 182
linalokwenda Groenplaats na kituo cha kushuka kinaitwa Kerkhofstraat.

Shime ndugu wapendwa wote,tunawaomba tujumuike katika kumstiri mtoto Comfort katika nyumba yake ya milele.Tunaomba sana kila atakayeliona tangazo hili amfahamishe na mwenzake.
Shukrani.