Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni au viumbe wa ajabu Anunnaki aliens inayoongozwa na mwanamuziki mashuuri Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja inaungana na wadau wote wa habari duniani kwa kuwatakia kila la heri na baraka wanahabari na vyombo vyao kwa kusherehekea siku ya Uhuru wa Habari duniani.Bendi inaungana na wadau wote wa habari kwa wimbo maarumu wa "Uhuru wa Habari" utunzi wake kamanda ras Makunja .
Sikiliza song: Uhuru wa Habari