Mchezaji wa Real Madrid Sergio Ramos kulia akiandika bao la kwanza dakika ya 15 ya mchezo dhidi ya Atletico Madrid katika mchezo wa fainali za UEFA uliochezwa Milano nchini Italia. |
Yannick Carrisco wa Atletico Madrid akiweka bao kimiyani na kuisawaizishia timu yake dhidi ya Real Madrid na kuwa 1-1 |
Mshambuliaji wa timu ya Real Madrid Christian Ronaldo akivua jezi kwa furaha baada ya kuifungia timu yake goli la ubingwa dhidi ya timu ya Atletico Madrid. |
Shingo chini ikiwa ni ishara ya masikitiko makubwa kwa mchezaji wa Atletico Madrid, Juanfran baada ya kukosa penati ya nne kwa timu yake. |
0 Comments