Habari za uhakika na kusikitisha zimetufikia kuwa mwanaharakati Ras Bupe Bakweresa Karudi maarufu pia kama kaka Bupe Mkushi,amefariki dunia katika hosptali ya taifa muhimbili baada ya kupata ajari ya gari.
Ras Bupe ameacha mke na watoto, mke na mtoto wake wa kiume ameshawasili nchini kutokea Uingereza.msiba hupo karakata jijini Dar-es-salaam.Marehemu Ras Bupe Bakweresa Karudi alikuja nchini Tanzania katikati mwa miaka ya 70 akifuatana na mkewe na watoto wawili Kiyenda(msichana) na Nyamiche mvulana,Ras Bupe Karudi alikuja kumuomba marehemu baba wa taifa mwalimu Nyerere hili atoe idhini
0 Comments