Home
Home
About
Contact
Home
WANANCHI WAFUNGA BARABARA MKOANI MWANZA BAADA YA MTOTO KUGONGWA NA GARI.
WANANCHI WAFUNGA BARABARA MKOANI MWANZA BAADA YA MTOTO KUGONGWA NA GARI.
MAGANGA ONE.
May 16, 2016
Wananchi na Wakazi wa Kata ya Kisesa, Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza, mapema leo wamefunga barabara ya Mwanza-Musoma katika eneo la Kisesa na hivyo kusababisha abiria wanaoingia Jijini Mwanza kutoka Mikoani kukwama barabarani kwa zaidi ya saa moja.
Post a Comment
0 Comments
THIS IS MAGANGA ONE BLOG
Social Plugin
Facebook
Tags
Contact form
0 Comments