Kwa upande wa kina baba wakipata sadaka ya Iftar nyumbani kwa Hamza na mkewe mama Hajra |
Kina baba wakiendelea na sadaka ya Iftar hapo jana |
Kwa upande wa kina mama hawa ni baadhi ya waliohudhuria kuftari pamoja nyumbani kwa bwana Hamza na mkewe mama Hajra kitongojini Herentals nchini Ubelgiji |
Dada yetu Malika kutoka Liege pia alihudhuria Futari ya pamoja hapo jana |
Malika akiwa na watoto wake wakiendelea na Iftar |
Kina baba wakiendelea kupata sadaka ya Futar iliyoandaliwa na Hamza na mkewe hapo jana |
Baada ya futar kila mmoja alikuwa na furaha ya kumsikiliza mtaalamu wa misitu Kamanda wa Makamanda,pichani Kamanda akifurahisha waumini kwa darsa la mawaidha ya kuelimishana juu ya upendo dhidi yetu |
Darsa likiendelea huku waumini wakiwa makini kabisa kumsikiliza Kamanda ambaye hayupo pichani |
0 Comments