Maganga One Blogger wiki hii ameamua kumtembelea ndugu yake Hija wa jiji la Den Haag nchini Uholanzi kwa ziara ya mapumziko.akiambana na mkewe kushoto,Maganga One amefanya kutembelea baadhi ya maeneo ya jiji hilo kwa matembezi binafsi.Kulia ni mama Leila ambaye ni mke wa Hija.Pichani tukipata staftahi
Watoto wa ndugu yangu Hija wakifanya mazoezi kwa kuendesha baiskeli kwenye viwanja maalumu vya michezo kwa watoto,kutoka kushoto ni bidada Leila,katikakati ni kijana Paris na mwisho kulia ni Milan
Mwenyeji wetu mama Leila akitufungulia staftahi 
Wakati tukiendelea kupata staftahi huku tukio la uchukuaji picha lichukua nafasi.
Maganga One na ndugu yangu Hija
Shekh Hija akiwa na Mama Maganga pamoja na mkewe mama Leila
Maganga One akiwa mitaani jijini Den Haag nchini Uholanzi katika matembezi yake ya likizo
Wahenga walishawahi kusema "kazi na dawa" na mwili haujengwi kwa matofali,moja ya tukio nzuri na la afya ni kula vizuri,Hapa unaweza kuona nduguzz na wake zetu tukijumuika kufanya Ibada muhimu ya tumbo.