Home
Home
About
Contact
Home
NGOMA AFRICA BAND KUKINUKISHA MONACO JUMAMOSI 10SEPT 2016
NGOMA AFRICA BAND KUKINUKISHA MONACO JUMAMOSI 10SEPT 2016
MAGANGA ONE.
September 06, 2016
Kutumbuiza mabwanyenye wa umoja wa Yacht Club"
Na mbwa domobaya lao limeonekana
Bendi Maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya Ngoma Africa Band aka FFU-Ughaibuni wanatarajiwa kutuo katika kisiwa cha Monaco kufanya show
maalumu kwa mwaliko wa Yacht Club ya Monaco,bendi hiyo itawatumbuiza
mabwanyeye hao katika kisiwa hiko cha kuponda raha siku ya jumamosi 10 September 2016 usiku hadi asubuhi. Pia habari za uhakika zinasema kuwa
yule mbwa wao aina ya Bulldog aliyepotea amepatika na kurudishwa kwa mkuu wa bendi hiyo kamanda Ras Makunja.
Usikose kupata muziki at
www.ngoma-africa.com
au jiunge nao at
www.facebook.com/
ngomaafricaband
Post a Comment
0 Comments
THIS IS MAGANGA ONE BLOG
Social Plugin
Facebook
Tags
Contact form
0 Comments